Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mbele ya sheria watu wote bila kujali rangi, umri au maumbile ni sawa na wanastahili haki sawa

Mbele ya sheria watu wote bila kujali rangi, umri au maumbile ni sawa na wanastahili haki sawa

Pakua

Takriban miaka 70  imepita tangu  tamko la haki za binadamu litolewe. Tamko hilo lina ibara 30 lakini leo tunaangazia ibara ya SABA.  Ibara hiyo inasema kuwa “Mbele ya sheria watu wote ni sawa na wanastahili haki sawa za kulindwa. Ili kupata uelewa zaidi wa ibara hiyo Siraj Kalyango wa idhaa hii amezungumza na  mwanasheria kutoka Tanzania ambaye anaanza kwa kujitambulisha.

Audio Credit
Anold Kayanda/Siraj Kalyango
Audio Duration
3'54"
Photo Credit
UN Photo/Rick Bajornas)