Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN na AU wazingatie vipaumbele ili kufikia malengo tuliyojiwekea- Guterres

UN na AU wazingatie vipaumbele ili kufikia malengo tuliyojiwekea- Guterres

Pakua

Umoja wa Mataifa umesema bado una imani na uongozi wa Afrika katika kutatua matatizo ya bara hilo na kwamba Umoja wa Mataifa una nia ya dhati kutumia fursa zilizopo sasa kufanya kazi kwa karibu zaidi na Muungano wa Afrika, AU.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'3"
Photo Credit
UN Photo/Loey Felipe