UN na AU wazingatie vipaumbele ili kufikia malengo tuliyojiwekea- Guterres
Pakua
Umoja wa Mataifa umesema bado una imani na uongozi wa Afrika katika kutatua matatizo ya bara hilo na kwamba Umoja wa Mataifa una nia ya dhati kutumia fursa zilizopo sasa kufanya kazi kwa karibu zaidi na Muungano wa Afrika, AU.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
2'3"