Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkoa wa Morogoro waendeleza mapambano dhidi ya malaria

Mkoa wa Morogoro waendeleza mapambano dhidi ya malaria

Pakua

Leo ni maadhimisho ya siku ya malaria duniani yenye kauli mbiu” utayari wa kutokomeza malaria” .

Idhaa ya kiswahili kupitia mtangazaji wa redio washirika morning star ya Morogoro ,Pendo Thomas , ilibisha hodi Mkoani Morogoro  nchini Tanzania kujionea hali halisi ya tatizo la malaria.

 

Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
4'3"
Photo Credit
Mbu aenezae malaria na magonjwa mengine kama chikungynya. Picha:WHO