Mkoa wa Morogoro waendeleza mapambano dhidi ya malaria
Pakua
Leo ni maadhimisho ya siku ya malaria duniani yenye kauli mbiu” utayari wa kutokomeza malaria” .
Idhaa ya kiswahili kupitia mtangazaji wa redio washirika morning star ya Morogoro ,Pendo Thomas , ilibisha hodi Mkoani Morogoro nchini Tanzania kujionea hali halisi ya tatizo la malaria.
Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
4'3"