Samaki wametoweka kwasababu ya uvuvi haramu
Pakua
Serikali nyingi duniani zimekuwa zikikabiliwa na changamoto za uvuvi haramu ambao mara nyingi huathiri mali asili ya baharini na kusababisha hasara kubwa kwa serikali, na pia kuathiri mapato ya wavuvi ambao hufuata sheria ya uvuvi.
Mwandishi wetu John kibego amefuatilia kwa ukaribu changamoto za uvuvi haramu katika ziwa Albert, katika wilaya ya Bulisa nchini Uganda ambapo wavuvi haramu wamekuwa wakivua kinyume cha sheria na kusababisha hasara kubwa katika mapato ya serikali ya kijiji.
Je nini kilichojiri ?ungana naye katika makala hii.
Audio Credit
Patrick Newman/ John Kibego
Audio Duration
3'35"