Kenya yapata mkopo wa dola milioni 447.9 kutoka IMF
Bodi tendaji ya Shirika la fedha duniani IMF imekamilisha awamu ya nne ya Ukaguzi wa Mpango wa Upanuzi wa Hazina kwa taifa la Kenya na kuipa nchi hiyo mkopo wa dola milioni 447.9 ili iweze kutekeleza mipango yake ya upanuzi na usaidizi wa mikopo.