Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mwanamke akiwa amembeba mwanaye wakati wa mafuriko mjini Jarkata Indonesia
© WMO/Kompas/Hendra A Setyawan

Mabadiliko ya tabianchi ni tishio kwa binadamu na afya ya dunia , hatua zahitajika sasa:IPCC Ripoti

Ripoti mpya ya jopo la kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi IPCC iliyotolewa leo imesema kuchukua hatua sasa dhidi ya mabadiliko ya tabianchi kunaweza Kuchukua hatua sasa “Kunaweza kulinda mustakabali wetu  kwani mabadiliko ya tabianchi yanayochochewa na shughuli za binadamu yanasababisha usumbufu wa hatari na ulioenea katika mazingira yetu na kuathiri maisha ya mabilioni ya watu kote ulimwenguni, licha ya juhudi zinazofanyika kupunguza hatari hiyo.”