UNICEF walaani shambulio lililoua makumi ya vijana nchini Afghanistan
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto UNICEF limeeleza kusikitishwa kwake na shambulio lililotokea mapema hii leo nchini Afghanistan na kusababisha vifo vya makumi ya wasichana na wavulana pamoja na kujeruhi wengine wengi.