Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Ukosefu wa taarifa au uelewa kuhusu ngono na afya ya uzazi umechangia msichna wa miaka 18 kupata mimba isiyo tarajiwa huko Timor Leste
© UNFPA/Ruth Carr

Nusu ya mimba zote duniani hazikutarajiwa: UNFPA

Ripoti ya Hali ya Idadi ya Watu Duniani mwaka 2022, iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na idadi ya watu na afya ya uzazi, UNFPA inasema karibu nusu ya mimba zote, ambazo ni jumla ya milioni 121 kila mwaka duniani kote, hazikutarajiwa.