Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mapigano ya kikabila katika eneo la Jonglei nchini Sudan Kusini yamesababisha utekaji nyara na mauaji. (Maktaba))
UNMISS

UNMISS na wadau wa kimataifa wahofia kuendelea kwa vurugu Greater Pibor na Jonglei

Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS, mpango wa Muungano wa Afrika Sudan Kusini AUMISS, IGAD, Troika, Muungano wa Ulaya EU na R-JMEC wamesema wana wasiwasi mkubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia, kupoteza maisha na ripoti za madai ya matumizi ya silaha nzito katika Eneo la Utawala la Greater Pibor na vijana wenye silaha kutoka jimbo la Jonglei.