Watetezi huru wa haki za binadamu waishtumu Thailand kwa kufukuza nchi watu wa makabila ya Hmong
Wataalamu wawili wanaowakilisha mashirika yanayotetea haki za binadamu wametangaza taarifa ya pamoja, iloilaumu vikali Serikali ya Thailand, kwa kuwahamisha kwa nguvu, wahamiaji 4,000 wa makabila ya Hmong na kuwarejesha kwenye taifa jirani la Laos, bila ya idhini yao.