UNHCR inasailia majaaliwa ya wahamiaji wa Kisomali katika Kenya
Mapema wiki hii Shirika la UNHCR liliripoti wasiwasi wake kuhusu taarifa ilizopokea zilizothibitisha kwamba Serikali ya Kenya huwarejesha makwao kwa nguvu makwao,wale wahamiaji wa Kisomali wenye kuomba hifadhi ya kisiasa.