Harakati za Ijumatatu kwenye Baraza la Usalama
Baraza la Usalama asubuhi lilisikiliza ripoti kutoka Edmond Mulet, KM Msaidizi kuhusu Operesheni za Ulinzi Amani za UM juu ya Darfur, ambaye alisisitiza hali ya usalama katike eneo bado ni ya kuregarega.