Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Hapa na pale

KM Ban Ki-moon amesema juhudi kubwa zaidi zinahitajika kote duniani kukomesha ghasia dhidi ya wanawake na wasichana, hasa kwa kuwahusisha zaidi wanaume na wavulana.

KM-uchaguzi wenye kasoro hatari kwa Afganistan

KM Ban ki-moon ameonya kwamba uchaguzi utakaokua na kasoro huko Afghanistan utaweza kurudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana, akitoa mwito kwa jumuia ya kimataifa kusaidia juhudi za kuimarisha uthabiti katika taifa hilo linalokumbwa na ghasia.

UM kuungana na kamati kubuni mpya kazi za mazingira

Mpango huo unatokana na jibu kwa pendekezo la waziri mkuu wa Uingereza Gordon Brown, wakati wa mkutano wa viongozi wa Jopo la Uchumi huko Davos, Uswisi mwezi Januari, wa kundwa kwa kamati maalum ya kupunguza kiwango kikubwa cha utowaji gesi za carbon.

FAO kupambana na ukame pembe ya Afrika

Kwa ushirikiano na Makundi yasiyo ya Kiserekali na Umoja wa Ulaya EU, Shirika la Chakula na Kilimo Duniani FAO, linafanya kazi kukabiliana na matatizo msingi yanyosababisha njaa huko Pembe ya Afrika.