Hapa na pale
Tarehe 31 Agosti ni siku ya mwisho ya uraisi wa duru wa Baraza la Usalama kwa Uingereza. Kuanzia tarehe mosi Septemba uraisi wa Baraza la Usalama utakabidhiwa Marekani. Ijumatano Balozi Susan Rice wa Marekani anatarajiwa kutangaza mradi wa kazi na ajenda ya Baraza la Usalama kwa mwezi Septemba.