Baada ya kuzuru Asia KM awaonya walimwengu juu ya hatari ya taathira za mabadiliko ya hali ya hewa
Ijumatano, tarehe 29 Julai 2009, KM Ban Ki-moon alikuwa na mazungumzo na waandishi habari wa kimataifa waliopoMakao Makuu kuzingatia safari ya wiki moja aliyoyatembelea mataifa mawili ya Asia, yaani Uchina na Mongolia.