NENO LA WIKI-Lisemwalo lipo, kama halipo laja
Neno la wiki ni methali "Lisemwalo lipo kama halipo laja" mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Neno la wiki ni methali "Lisemwalo lipo kama halipo laja" mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Neno "KIRUKA NJIA" na mchambuzi ni mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Leo katika kujifunza Kiswahili katika Neno la wiki, Dkt. Mwanahija Ali Juma kutoka BAKIZA anafafanua maana ya neno "PAKACHA"
Na sasa ni wakati wa kujifunza Kiswahili , Je wafahamu maana ya neno "UNYARUBANJA" basi ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania , BAKITA kwa ufafanuzi
Sasa ni Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "Ujana ni Moshi" na mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Na sasa ni mashinani ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, ZANZIBAR, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno NONGWA.
Je wafahamu tofauti za maneno "MRUNDIKANO NA MLUNDIKANO”? basi ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania , BAKITA kwa ufafanuzi
Wiki hii kwenye Neno la wiki mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani anafafanua maana ya methali Teke la kuku halimwumizi mwanawe.
Je wafahamu maana za neno “BARAKOA”? basi ungana mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA kwa ufafanuzi
Wiki hii katika Neno la Wiki, Bi. Mwanahija Ali Juma Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya neno “UPAKO”. Karibu.