Neno la wiki-HAWILI
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "HAWILI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "HAWILI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Kwenye neno la wiki leo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maanda ya methali"Shukrani sana Aida Mutenyo kwa elimu hiyo.
Nam kama ada ya kila ijumaa sasa ni kujifunza Kiswahili katika Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "HERI KENDA MKONONI KULIKO KUMI NENDA RUDI" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya
Leo kwenye neno la wiki ambapo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika Vyuo Vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maana ya methali Adhabu ya kaburi aijuaye Maiti