Neno la Wiki- Teke la kuku halimwumizi mwanawe
Wiki hii kwenye Neno la wiki mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani anafafanua maana ya methali Teke la kuku halimwumizi mwanawe.
Wiki hii kwenye Neno la wiki mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani anafafanua maana ya methali Teke la kuku halimwumizi mwanawe.
Je wafahamu maana za neno “BARAKOA”? basi ungana mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA kwa ufafanuzi
Wiki hii katika Neno la Wiki, Bi. Mwanahija Ali Juma Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya neno “UPAKO”. Karibu.
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anachambua maana ya neno “PANJA”