Neno la Wiki-Ujana ni moshi
Sasa ni Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "Ujana ni Moshi" na mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Sasa ni Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "Ujana ni Moshi" na mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Na sasa ni mashinani ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, ZANZIBAR, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno NONGWA.
Je wafahamu tofauti za maneno "MRUNDIKANO NA MLUNDIKANO”? basi ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania , BAKITA kwa ufafanuzi