Neno la wiki-CHAZA
Katika kujifunza Kiswahili kupitia neno la wiki, leo tunapata ufafanuzi wa neno "CHAZA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katika kujifunza Kiswahili kupitia neno la wiki, leo tunapata ufafanuzi wa neno "CHAZA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Leo katika neno la wiki Katibu Mtenaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya msemo "CHANDA CHEMA HUVIKWA PETE".
Katika kujifunza Kiswahili kupitia Neno la wiki tutajifunza maana ya methali "MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI " na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Katika kujifunza Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa neno "GUDA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "BIRUKUA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la Zanzibar, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya msemo ""FUNIKA KOMBE MWANAHARAM APITE"".
Katika kujifunza Kiswahili, tunaangazia maana ya methali "PEMA USIJAPO PEMA UKIPEMA SI PEMA TENA" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "HAWILI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Kwenye neno la wiki leo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maanda ya methali"Shukrani sana Aida Mutenyo kwa elimu hiyo.