UNICEF yashirikisha wavulana vita dhidi ya ukeketaji Tanzania
Nchini Tanzania Umoja wa Mataifa unatumia mbinu mbalimbali kufikisha ujumbe wa kuepusha watoto wa kike dhidi ya ukatili. Vitendo vya ukatili kama vile ukeketaji umekwamisha maendeleo ya mtoto wa kike na zaidi ya yote wapo baadhi ya wanaume wanaoamini kuwa mtoto wa kike asiyekeketwa hafai katika jamii.