Vijana nchini Zambia ni mfano wa kuigwa katika kilimo
Ufugaji samaki ni biashara inayo wakwamua vijana wengi nchini Zambia na tatizo la ajira. Shirika la kazi duniani ILO na lile chakula na kilimo FAO kwa pamoja na serikali ya Zambia wameanzisha mradi wa kuwawezesha vijana vijijini kwa kuwapa mafunzo ya ujasiriamali katika kilimo na ufungaji, ikiwa ni mpango wa malengo ya maendeleo endelvu ya mwaka 2030 katika kutokomeza umasikini.