IOM na EU kuwasaidia Waukraine 700,000 wakati huu wa msimu wa baridi
Wakati huu ambapo msimu wa baridi kali ukishika kasi na kufikia nyuzi joto sifuri kote nchini Ukriane, Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM nchini Ukraine, imetangaza kuongeza msaada kwa wakimbizi wa ndani walioathirika na vita inayoendelea nchini humo ambao kwa sasa wanakabiliwa na baridi kali.