13 Desemba 2021
Karibu kusikiliza jarida, kila Jumatatu tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tunaangazia Kikosi cha wanajeshi kutoka Uingereza kinachohusika na upelelezi wa masafa marefu au LRRG chini ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka amani nchini Mali, MINUSMA.