NENO LA WIKI- MKAJA
Hii leo katika kujifunza kiswahili kupitia Umoja wa Mataifa, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno "MKAFA"
Hii leo katika kujifunza kiswahili kupitia Umoja wa Mataifa, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno "MKAFA"
Katika Jarida la mada kwa kina hii leo Leah Mushi anakuletea
Chanda chema huvikwa pete walinena wahenga na hali ni kama hiyo kwa mlinda amani kutoka Kenya ambaye amechaguliwa kupokea tuzo ya Umoja wa Mataifa ya mwanajeshi mwanaharakati wa masuala ya kijinsia kwa mwaka 2020.
Ili kuweza kuishi maisha ya kistaarabu na staha niwajibu kuwa na shughuli ya kukuingizia kipato.
Katika kuelekea siku ya walinda amani dunaini Tarehe 29 mwezi huu wa Mei, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, amesema mchango wa vijana katika kudumisha amani ni mkubwa na amani haiwezi kupatikana endapo hawatoshirikishwa. Tupate ufafanuzi zaidi kutoka kwa Flora Nducha.
Hii leo jaridani Leah Mushi anaanzia na habari za ulinzi wa amani ikiwa ni kuelekea siku ya walinda amani duniani tarehe 29 mwezi huu wa Mei. Atakupelekea Ghana kuangazia jinsi ilivyobainika kuwa masomo ya darasani kwa kiasi kikubwa bado hayamwezeshi kijana kujikimu maisha yake mtaani.
Mradi wa kuwezesha wanawake nchini Sudan Kusini unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la maendeleo ya viwanda UNIDO kwa ufadhili wa serikali ya Canada umekuwa mkombozi mkubwa hasa kwa wanawake wavuvi na wakulima nchini mjini Juba nchini humo sio tu kwa kuwawesha kulisha familia zao lakini p
Kutokana na mabadiliko ya mifumo ya mvua, hali ambayo imekuwa ikileta maafa nchini Burundi na kusababisha mafuriko, maporomoko ya ardhi na kuharibu mazao, Jeannette Niyibigira, pamoja na mumewe na watoto 5, walilazimika kuyahama makazi yao ya Gatumba, na sasa wanaishi katika kambi ya Kiragaramang
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet ametoa wito kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya na Muungano wa Ulaya, EU, pamoja na nchi wanachama wa Umoja huo kurekebisha haraka mfumo, sera na kanuni za sasa za kusaka na kuokoa watu kwenye bahari ya Meditera