Neno "DOKOA"
kutoka nchini Uganda, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anafafanua maana za neno "DOKOA"
kutoka nchini Uganda, Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anafafanua maana za neno "DOKOA"
Karibu kusikiliza jarida ambapo kama ilivyo ada ijumaa tunakuletea mada kwa kina leo tukimulika usanifu majengo na udhibiti wa mabadiliko ya tabianchi mijini kuelekea siku ya miji duniani tarehe 31 mwezi huu wa Oktoba.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP nchini Rwanda, linaendesha programu ya chakula kutoka nyumbani kwenda shuleni, programu ambayo inatekeleza malengo 6 ya maendeleo endelevu, SDGs likiwemo namba 2 la kutokomeza njaa na hivyo kuwaacha wazazi na wanafunzi wakiwa na furaha.
Mnyama aliyetoweka mamilioni ya miaka atumika kuwakumbusha wanadamu kutochagua kutoweka (OVERNIGHT)
Mkutano unaohusu utafiti, sayansi teknolojia na uvumbuzi katika kukuza ushirikiano na maendeleo katika nchi za Afrika Mashariki ikiwa ni sehemu ya mbio za kuyafikia malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu, SDGs, ulioandaliwa na Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo kwa kush
Umoja wa Mataifa unapigia chepuo mifumo sahihi ya chakula inayolenga kuongeza mnyororo wa thamani kuanzia shambani hadi kwa mlaji.
Karibu kusikiliza jarida ambapo hii leo ASSUMPTA MASSOI anakuletea taarifa zikiwemo
Karibu kusikiliza jarida ambapo leo tunakuletea mada kwa kina maalum kutokea Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC ikimulika michezo hususan mpira wa miguu na ulinzi wa amani ambako kumefanyika mechi ya kirafiki kati ya Timu ya walinda amani kutoka Tanzania na wenyeji Lion Mavivi.
Nchi duniani kote zimeendelea kwa namna tofauti kupambana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, Covid-19. Wakati huo huo, shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limeendelea kuzisaidia nchi katika mapambano hayo ikiwemo kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji wa chanjo.
Kutana na mkimbizi Felicitee Anibati kutoka Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo ambaye kwa sasa anaishi katika kambi ya wakimbizi ya Makpandu nchini Sudan Kusini , ni mama, mkulima na mjasiriamali mwenye mafanikio ambaye sasa anatumia mafanikio yake kuwasaidia wanawake wenzie ili kufika alipo yeye.