Mkimbizi wa ndani nchini Yemen aliyepata ajali akiwa kazini asema hajakata tamaa
Nchini Yemen maisha ya ufukara ni dhahiri miongoni mwa wakimbizi wa ndani ambapo hata kwa wale ambao walibahatika kupata vibarua, ajali kazini imeleta madhila na machungu zaidi na kuzidi kutia mashaka mustakabli wa watoto nchini humo kama anavyosimulia Anold Kayanda