Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

China kutoa msaada kwa vikosi vya AMISOM

Kamishna wa amani na usalama katika muungano wa afrika AU Ramtane Lamamra pamoja na balozi wa china nchini Ethiopia Gu Xiaojie wametia sahihi makubaliono ambapo China itatoa misaada kwa kikosi cha kulinda amani nchini Somalia cha AMISON.

Ban alaani shambulio la kigaidi Pakistan

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amelaani shambulizi la kigaidi lililotekelezwa nje ya kituo cha kusambaza misaada cha shirika la mpango wa chakula duniani WFP mashariki kwa Pakistan ambalo lilisababisha watu 45 na kuwajeruhi wengine wengi.