Kupunguza unyanyapaa na kuelimisha ni muhimu katika vita vya ukimwi Sri Lanka:UNAIDS
Kupunguza unyanyapaa na kuelimisha jamii kunahitajika ili kudhibiti na kuzuia kusambaa kwa virusi vya ukimwi nchini Sri Lanka.
Kupunguza unyanyapaa na kuelimisha jamii kunahitajika ili kudhibiti na kuzuia kusambaa kwa virusi vya ukimwi nchini Sri Lanka.
Rais Omar Al Bashir wa Sudan amesema atakubali uamuzi wowote utakaofanywa na watu wa Sudan Kusini katika kura ya maoni ya kuamua endapo eneo hilo lijitenge na kuwa taifa huru ama la hapo Januari 9.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema serikali ya Thailand imewarejesha kwa nguvu nyumbani wakimbizi 166 wa Myanmar.
Shirika la afya duniani WHO linaisaidia wizara ya afya ya Uganda kukabiliana na mlipuko wa homa ya manjano ambao umeshakatili maisha ya watu zaidi ya 40.
Taarifa zinasema wakimbizi zaidi wa Ivory Coast wanamiminika nchini Liberia wakihofia usalama wao kutokana na machafuko ya kisiasa yanayoendelea.
Marais watatu kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya kiuchumi ya Afrika ya Magharibi ECOWAS wamewasili mjini Abijan Ivory Coast kumshawishi Rais Laurent Gbagbo kukubali kushindwa na kuondoka madarakani.
Kamishna wa amani na usalama katika muungano wa afrika AU Ramtane Lamamra pamoja na balozi wa china nchini Ethiopia Gu Xiaojie wametia sahihi makubaliono ambapo China itatoa misaada kwa kikosi cha kulinda amani nchini Somalia cha AMISON.
Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani kwenye jimbo la Darfur (UNAMID) kimeeleza hisia zake kunapoendelea kushuhudiwa mapigano kati ya vikosi vya jeshi la Sudan na makundi ya waasi kwenye maeneo yanayokumbwa na ghasia.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani ghasia zilizoshuhudiwa katika sehemu kadha nchini Nigeria katika siku za hivi maajuzi na kusababisha vifo vya watu 30 huku wengine zaidi ya 70 wakijeruhiwa.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amelaani shambulizi la kigaidi lililotekelezwa nje ya kituo cha kusambaza misaada cha shirika la mpango wa chakula duniani WFP mashariki kwa Pakistan ambalo lilisababisha watu 45 na kuwajeruhi wengine wengi.