Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Msaada wa Kimataifa unahitajika kuisaidia Haiti kupambana na Ukimwi

Haiti ambayo imesambaratishwa na tetemeko la ardhi la Januari 12 inahitaji kuwezeshwa ili kuanza tena shughuli ya kukabiliana na ongezeko la maambukizi ya Ukimwi. Baada ya UNAIDS na wizara ya afya na idadi ya watu ya Haiti kutathimin hali halisi, UNAIDS imetoa ripoti iitwayo "kuisaidia Haiti kurejesha uwezo wake wa kupambana na Ukimwi".