Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mamia ya wasomali waendelea kukimbilia Kenya

Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa linasema kuwa hali inaendeea kuwa mbaya kaskazini mwa Kenya baada ya mamia ya wasomalia kuendelea kuingia nchini Kenya wakikimbia mapigano kati wanamgambo wa Al-Shabaab na kundi la Ahlu Sunna Wal Jamaa linaloegemea upande wa serikali ya mpito ya Somali kwenye mji wa mpaka wa Beled Hawo. George Njogopa na taarifa kamili