Wajumbe kutoka nchi 180 wakutana Bonn kwa ajili ya mabadiliko ya hali ya hewa
Mzunguko mpya wa mkutano kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa umeanza leo huku wawakilishi kutoka mataifa 180 wakikutana mjini Bonn Ujerumani.
Mzunguko mpya wa mkutano kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa umeanza leo huku wawakilishi kutoka mataifa 180 wakikutana mjini Bonn Ujerumani.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita (ICC) imefanikiwa kulazimisha serikali kubadili mwelekeo wao tangu iundwe miaka minane iliyopita.
Mvua kubwa zilizoambatana na kimbunga Agatha zimesababisha mafuriko Amerika ya kati na kufanya matawi ya mito kujaa kupita kiasi.
Mkutano wa kumi na nne wa baraza la haki za binadamu umefunguliwa leo mjini Geneva na kamishna mkuu wa haki za binadamu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo amehitimisha ziatra yake nchini Uganda ambako alikwenda kufungua mkutano wa tathimini wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC.
Shirika la afya duniani WHO linasema uvutaji wa sigara miongoni mwa wanawake unaongezeka duniani kote,wakati makampuni ya sigara yakiwalenmga wanawake katika kampeni zake za kutafuta masiko.
Wakati huohuo kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay ameelezea kushitushwa kwake na shambulio hilo dhidi ya boti ya flotilla iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kupeleka Gaza.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito wa kufanyika uchunguzi dhidi ya shambulio la boti iliyobeba misaada kupeleka Gaza na kukatili maisha ya watu.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema linahitaji dola milioni 17 ili kukabiliana na kuzuka kwa surua, kipindupindu na homa ya matumbo nchini Zimbabwe.
Mkutano wa mwezi mmoja wa kuzuia kuenea kwa silah za nyuklia umemalizika Ijumaa kwa makubaliano ya kuwa na mazungumzo ya kuanzisha eneo huru bila nyuklia Mashariki ya Kati.