UNICEF imezindua kampeni nyingine ya machanjo huko Haiti
UNICEF inakadiria kwamba zaidi ya watu milioni 2 wangali wanaathiriwa moja kwa moja au kwa njia nyingine na matokeo ya mtetemeko wa ardhi huko Haiti. Na watu wengine milioni 1.3 wamekoseshwa makazi yao hadi hivi sasa.