Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Vifo vya malaria vinaweza kukomeshwa ifikapo 2015:UM

Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya mipangilio ya sera Robert Orr amesema kuwa hata kama kuna hali mbaya ya uchumi duniani jitihada mpya zinazofanywa na serikali zinaonyesha matumani ya kupunguza vifo vinavyosababishwa na Ugonjwa wa malaria ambao kwa sasa vinawaua watu milioni moja kila mwaka kote duniani na kuukomesha ugonjwa huo ifikapo mwaka 2015.