Waathirika wa mafuriko Pakistan wanarejea makwao:OCHA
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu OCHA leo limesema idadi kubwa ya watu waliosambaratishwa na mafuriko nchini Pakistan ama wamerejea katika maeneo yao ya awali au wanafanya hivyo.