Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

UNICEF inasaidia kupambana na Ukimwi DR Congo

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumiwa watoto UNICEF nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limekuwa likianisha kazi za ofisi yake katika mji wa Lubumbashi ambayo ni kupambana ukosefu wa uelewa wa kutosha miongoni mwa watu wa kuzuia virusi vya HIV na ukimwi.

Wakimbizi wa DR Congo waendelea kufurushwa Angola :UM

Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanaotimuliwa kutoka nchi jirani ya Angola wanaendelea kuwasili nyumbani Congo, huku wengi wakiarifu kubughudhiwa ikiwa ni pamoja na kubakwa imesema ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya kibinadamu nchini humo OCHA.

Ingawa Ache imepiga hatua bado kunachangamoto :UM

Chimbo la Ache nchini Indonesia limepiga hatua kubwa ya ujenzi mpya tangu kukumbwa na janga la tsunami miaka sita iliyopita. Hata hivyo ripoti ya Umoja wa Mataifa imeonya kwamba bado linakabiliwa na changamoto kubwa ya kuondoa umasikini, kuleta usawa na athari za majanga kwa siku zijazo.