UNICEF inasaidia kupambana na Ukimwi DR Congo
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumiwa watoto UNICEF nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limekuwa likianisha kazi za ofisi yake katika mji wa Lubumbashi ambayo ni kupambana ukosefu wa uelewa wa kutosha miongoni mwa watu wa kuzuia virusi vya HIV na ukimwi.