Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Watu zaidi ya 3000 wafariki Dunia kwa Kipindupindu Haiti

Mfumo wa afya nchini Haiti unaosimamiwa na shirika la afya kwa nchi la Amerika PAHO, shirika la afya duniani WHO na wizara ya afya ya Haiti MSPP wameariku kuwa ingawa wana madawa ya kutosha kwa ajili ya kuwatibu waathirika wapya wa kipindupindu siku zijazo lakini wanakabiliwa na changamoto kubwa.