Juhudi za Tanzania kupunguza vifo vya watoto zakabiliwa na changamoto
Juhudi za Tanzania katika kufikia lengo la maendeleo la milenia namba nne, kupunguza vifo vya watoto wachanga kabla ya mwaka 2015 zinakabiliwa na changamoto.
Juhudi za Tanzania katika kufikia lengo la maendeleo la milenia namba nne, kupunguza vifo vya watoto wachanga kabla ya mwaka 2015 zinakabiliwa na changamoto.
Hali ya uchumi wa dunia inatazamia kukua kwa wastani mwaka ujao, lakini pia nchi za Ulaya zitakabiliwa na changamoto ya ulipaji madeni ili kudhihirisha ukuaji wa uchumi huo.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amesema kuwa mpango wa amani nchini Nepal unaendelea kukumbwa na utata huku Umoja huo ukijiandaa kuondoka nchini humo.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Pakistan balozi Rauf Engin Soysal na mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Pakistan Tomo Pakkala inasema mamilioni ya wapakistan bado wanahitaji msaada kukabili athari za mafuriko yaliyowakumba.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limekaribisha msaada mkubwa kabisa kuwahi kuupata kutoka nchini Brazili .
Msimu wa ukame unaendelea kuathiri sehemu kubwa ya Somalia ikiwemo Somalilanda na Puntland limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu OCHA.
Mfumo wa afya nchini Haiti unaosimamiwa na shirika la afya kwa nchi la Amerika PAHO, shirika la afya duniani WHO na wizara ya afya ya Haiti MSPP wameariku kuwa ingawa wana madawa ya kutosha kwa ajili ya kuwatibu waathirika wapya wa kipindupindu siku zijazo lakini wanakabiliwa na changamoto kubwa.
Kuanzia tarehe 30 Desemba mwaka huu wa 2010 watoto wa nchi ya Congo Brazzaville kutoka jamii ya watu wa asili watapata fursa za masuala ya afya, elimu na kulindwa kutokana na kuwekwa sheria za kuwalinda.
Nalo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR leo limesema litaweka kambi maalumu nchini Liberia ili kuwahifadhi wakimbizi zaidi ya 18,000 waliokimbia machafuko nchini Ivory Coast.
Wataalamu watatu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema wanahofia sana kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini Ivory Coast wakati mvutano wa kisiasa ukiendelea.