Najivunia kuwa mfanyakazi wa UNICEF Tanzania kwa karibu miaka 20:Said Mumba
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF mwezi huu limetimiza miaka 75 tangu kuanzishwa kwake rasmi tarehe 11 Desemba 1946 jijini New York Marekani kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa.