Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

Eric Omondi, muuguzi wa Kituo cha Usimamizi na Taarifa za Kisukari anakagua eneo lenye uvimbe kwenye mkono wa Maingi.

UNICEF yasaidia watoto wenye utapiamlo Garissa nchini Kenya

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linaendesha program maalum ya lishe kwenye kaunti ya Garissa nchini Kenya kwa lengo la kunusuru maisha ya mamia ya watoto wanaosumbuliwa na utapiamlo. Jason Nyakundi na taarifa zaidi 

Nattsss…. 

Sauti
2'4"

16 Desemba 2021

Karibu kusikiliza jarida ambapo miongoni mwa utakayo sikia leo ni kuhusiana na utapiamlo Garissa nchini Kenya, viongozi wa dini watembelea wakimbizi wa ndani nchini Sudan Kusini na Mtumishi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ambaye amekuwa akifanya kazi ya udereva kwa miaka zaidi ya 20 amezungum

Sauti
14'22"

15 Desemba 2021

Karibu kusikiliza jarida, tunakuletea mada kwa kina kutoka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, huko tunaangazia ujio wa kikosi kipya cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania ambacho kinachukua nafasi ya kikosi kingine kutoka Tanzania vilevile ambacho kimemaliza muda wake katika shughuli za ulinzi wa ama

Sauti
11'8"