Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Katika umri wa miaka 22 tu, Mariama Camara Cire (katikati) ni mwanafunzi, mkulima na pia mwanzilishi wa chama kinachopiga vita unyanyasaji dhidi ya wanawake. Mariama anaungwa mkono na programu ya ITC ambayo ni taasisi tanzu ya Kamati ya Umoja wa Mataifa y
Screenshot/ITC

Camara Mariama Ciré: Mfano wa kuigwa kupitia kwenye kilimo Guinea Conakry 

“Habari, naitwa Camara Mariama Ciré kutoka Guinea Conakry…,” ndivyo anavyoanza Mariama Camara Cire kwa kujitambulisha kuwa anatokea Guinea Conakry moja ya nchi za Afrika Magharibi inayopakana na Bahari ya Atlantiki katika upande wake wa Magharibi na kwingine ikipakana na Guinea Bissau, Sierra Leone, Côte d'Ivoire, Senegal na Mali.

Kinga mwili ya Sotrovimab ya sindano ni moja ya dawa mbili zilizopendekezwa na WHO kutibu wagonjwa wa Covid-19. Nyingine ni ya kumeza ambayo ni Baricitinib
© GlaxoSmithKline

WHO yapendekeza dawa mbili mpya za kutibu wagonjwa wa COVID-19

Kundi la wataalamu wa miongozo wa WHO wametaja dawa ya Baricitinib kwa ajili ya kutibu wagonjwa mahututi  wa COVID-19.Dawa nyingine iliyopendekezwa na wataalamu hao ni Monoclonal, na pia kutoa masharti ya matumizi ya kingamwili hiyo kutumika kwa wagonjwa walio na Covid-19 isiyo kali, lakini tu kwa wale walio katika hatari kubwa ya kulazwa hospitalini.