Tuwaenzi wauguzi na wakunga 2020- WHO Dkt. Tedros
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la afya duniani, WHO, Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus, kupitia salamu zake za mwaka mpya wa 2020 ametoa wito wa kuwaenzi kwa kila namna wahudumu wa afya hususani nesi na wakunga.