Tukishikamana na kutumia nyezo tuliyonayo tutalishinda janga la COVID-19:UN
Umoja wa Mataifa leo umefanya mkutano wa ngazi ya juu kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ukishirikisha wadau mbalimbali kupitia mtandao kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na kutumia nyenzo zilizopo kwa ajili utengenezaji wa chanjo dhidi ya janga la corona au COVID-19.