Ili kufanikisha malengo yetu lazima tuwajumuishe watu wenye ulemavu:UN
Kuwa na dunia ambayo watu wote wana uwezo wa kupata fursa saw ani lengo ambalo linastahili kupiganiwa amesema Katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa katika hotuba yake hii leo akitoa wito wa ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii ikiwemo katika hatua za kukabiliana na kujikwamu na janga la corona au COVID-19.