Mafunzo ya roboti nchini Uganda yanafungua upeo wa watoto wa Shule
Kutana na Solomon Kingi Benge mwanzilishi wa kituo cha mafunzo ya trknolojia ya roboti .Ameamua kuusambaza ujuzi wake kwa wanafunzi katika shule nchini Uganda.
Kutana na Solomon Kingi Benge mwanzilishi wa kituo cha mafunzo ya trknolojia ya roboti .Ameamua kuusambaza ujuzi wake kwa wanafunzi katika shule nchini Uganda.
Serikali ya Ecuador imetakiwa kuongeza juhudi zake ili kuhakikisha sheria inafuatwa na kutekeleza mipango ya kukomesha ubaguzi wa rangi unaowakabilia Raia weusi wa Ecuador na watu wenye asili ya Afrika.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kuongeza muda wa mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC (MONUSCO) ambao ulikuwa unamalizika leo Desemba 20.
Ofisi ya ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR, imeeleza wasiwasi ilionao kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu nchini Libya.
Kutana na Adouia mama mjasiriamali aliyefaidika na kubadili maisha yake na jamii yake kutokana na mradi wa Benki ya dunia kupitia ufadhili wa jumuiya ya kimataifa ya maendeleo (IDA).
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amempongeza kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa kupunguza madhila kwa watu na kutetea hadhi ya haki za binadamu.
Mwisho wa mwezi Desemba na Januari wapenda sanaa nchini Nigeria watashuhudia sanaa ya tamthilia kwa jina Bintu iliyotungwa na kuandaliwa kwa ufadhili wa Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP na ukumbi wa maonyesho wa Mosaic.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeonya kwamba ufadhili kwa ajili ya msaada kwa wakimbizi nchini Uganda ni mdogo sana.
Ni lazima Vatican ichukue hatua kuhakikisha haki kwa watu ambao walinyanyaswa kingono na watawa walipokuwa watoto amesema mtaalam huru wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Alhamisi.
Shirika la afya ulimwenguni leo limetangaza habari njema ya kupungua kwa visa vya kipindupindu duniani kote kwa asilimia 60 mwaka 2018.