Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Leila Zerrougui, Mwakilishi Maalum na Mkuu wa MONUSCO akihutubia Baraza la Usalama
UN /Loey Felipe

Zerrougui asifu ukomavu wa wananchi wa DRC

Mwakilshi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC  Leila Zerrougui amepongeza ukomavu wa raia wa nchi hiyo uliofanikisha uchaguzi mkuu nchini humo na hatimaye Rais mpya Felix Tshisekedi kuapishwa na kuanza rasmi awam yake ya uongozi wiki iliyopita.

Mtoto Zain, mkimbizi kutoka Syria wakati akiwa Lebanon akijiandaa kwa safari yake ya kuhamia Norway
© UNHCR/Sam Tarling

Filamu "Capernaum" kuhusu wakimbizi na wahamiaji yashindania tuzo za Oscars 2019

Nadine Labaki, mwongoza filamu kutoka Lebanon ambaye filamu yake ya Capernaum imechaguliwa kushindania tuzo ya Oscar kwa mwaka huu wa 2019 katika kipengele cha filamu za lugha ya kigeni, amezungmzia kile kilichomfanya kuandaa filamu hiyo inayohusu madhila yanayokumba mamilioni ya watu duniani katika zama za sasa ikiwemo  ukimbizi na uhamiaji.

Sauti
1'38"