Baraza la Usalama liko tayari kusaidia kufanikisha kazi za mjumbe wa Sahara Magharibi
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wameelezea mshikamano wao na mjumbe binafsi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Sahara Magharibi, Horst Köhler ambaye ni rais wa zamani wa Ujerumani.