Vifo vya IDAI vinaongezeka , huku mlipuko kipindupindu waongeza hofu Msumbiji:OCHA
Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA , idadi ya vifo vilivivyosababishwa na athari za kimbunga Idai nchini Msumbiji imeongezeka na kufikia 493.