Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

ICRC yasaidia kuachiliwa huru askari sita Congo DRC

Katika operesheni mbili tofauti zilizofanyika jana na leo kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu (ICRC) imesaidia katika kuachiliwa na kusafirishwa kwa wanajeshi sita wa jeshi la Congo waliokuwa wanashikiliwa na makundi yenye silaha katika majimbo ya Kivu ya Kusini na Kaskazini.