UM unaihimiza Italia kupunguza chuki dhidi ya wageni
Wataalamu wawili wa haki za binadamu wa UM wanaohusika na wahamiaji na ubaguzi wamewahimiza wakuu wa Italia kuchukua hatua zinazohitajika kupunguza hali ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya wafanyakazi wa kigeni.