UM unaitaka Uganda kuondowa mswada dhidi ya mapenzi ya jinsia moja
Kamishna mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya haki za Binadamu Navi Pillay aliihimiza serekali ya Uganda siku ya Ijumaa kutupilia mbali mswada wa sheria kuhusiana na watu wa jinsia moja wanaopendana, ambao unatarajiwa kufikishwa bungeni mwishoni mwa mwezi Januari.