Ni lazima wanawake tujiamini – Fundi viatu Jovia Kyomuhendo
Ubunifu ni moja ya mambo yanayotazamwa kuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs.
Ubunifu ni moja ya mambo yanayotazamwa kuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs.
Shirikam la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira duniani UNEP leo limewatangaza washindi wanne wa tuzo yake ya juu kabisa ya mazingira ijulikanayo kama “champions of the Earth Award” kwa mwaka 2021.
Jason Nyakundi na taarifa zaidi
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO nchini Tanzania kwa kushirikiana na wadau wake watafiti wa mpunga, Tari na IIRI wamewakutanisha baadhi ya wakulima wa mpunga nchini humo wapeane mawazo jinsi ya kuboresha zao hilo ili pamoja na faida nyingine, waweze kuhudumia soko la nchi zin
Karibu kusikiliza jarida ambapo miongoni mwa utakayo sikia leo ni WHO yakataza mtu aliyepona COVID-19 kumchangia damu mgonjwa anayeugua COVID-19 pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira duniani UNEP leo limewatangaza washindi wanne wa tuzo yake ya juu kabisa ya mazingira
Karibu kusikiliza jarida ambapo kuelekea siku ya haki za binadamu ambayo huadhimishwa kila tarehe 10 ya mwezi wa 12, tunakuletea vipindi mbalimbali vinavyoeleza umuhimu wa kutekeleza haki za binadamu. Leo tunaangazia haki ya kuishi na kutokubaguliwa ya watu wenye ulemavu.
Karibu kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa maana ya methali, "Mwendapole Hajikwai" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani.
Karibu kusikiliza jarida hii leo tukikuletea mada kwa kina kutokea nchini Tanzania kuhusu mapokeo ya uamuzi wa serikali kuwarejesha shuleni watoto waliokatiza masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito.
Tarehe 23 mwezi uliopita wa Novemba mwaka huu wa 2021, Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la elimu, sayansi na utamaduni, UNESCO liliridhia tarehe 7 mwezi Julai kila mwaka kuwa siku ya kimataifa ya Kiswahili.
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP limetoa video maalum ya zaidi ya dakika 5 na picha kadhaa kuionesha dunia hali mbaya ya kibinadamu inayoendelea nchini Afghanistan ikiwemo ukosefu wa chakula na kutoa ombi maalum la kusaidia watu wa nchi hiyo bila kujali masuala ya kisias
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema linatiwa wasiwasi mkubwa na mazingira dunia wanaoishi wakimbizi na wahamiaji kutoka jamii ya Warao nchini Venezuela ambao kwa sasa wanaishi Guyana.