Ustawi wa vijana hutegemea ushiriki wao katika utetezi wa sera: Mshiriki kutoka Tanzania
Vijana jitokezeni kutetea sera zenu kwa maslahi yenu. Ni kauli ya mmoja wa washiriki wa kongamano la vijana kuhusu sera linaloendelea jini Baku, Azerbaijan, Selemani Kitenge ambaye amezungumza katika mahojiano maalum na Basma Baghall wa idhaa ya kiarabu ya Umoja wa Mataifa.