Mkuu wa UN arudia wito wake kwa Israel kusitisha mashambulizi Rafah
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amerejea onyo lake dhidi ya shambulio yanayoendelea huko Rafah, kama vile timu za misaada zilivyotoa wito wa dharura wakutaka waweze kupita kwa usalama katika eneo lote la Gaza, ili kufikisha misaada kwani kwa sasa akiba ya misaada ya kuokoa maisha ipo chini.