Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

Nearly 18 million people across Sudan are facing acute hunger.

Mtu 1 kati ya 5 katika nchi 59 duniani anahitaji hatua za haraka kuepushwa na baa la njaa: FAO

Ripoti mpya ya kimataifa iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO kuhusu mgogoro wa chakula duniani inasema karibu watu milioni 282 walio katika nchi 59 walikabiliwa na viwango vya juu vya njaa mwaka 2023. 

(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)

Sauti
2'23"